2 wakawaambia: “Yawe alimwagiza Musa kwamba tupewe miji ya kuishi na mbuga za malisho ya nyama wetu.”
Hata hivyo, nyumba zinazokuwa katika miji Walawi wanayorizi zinaweza kukombolewa wakati wowote.
Vilevile musibebe mifuko, kanzu mbili, viatu wala fimbo, kwa sababu mutumishi anastahili kupewa posho lake.
Mwenye kufundishwa Habari Njema anapaswa kushirikiana mapato yake na yule anayemufundisha.
Basi, Waisraeli wakaigawanya inchi kama vile Yawe alivyomwamuru Musa.
Nyuma ya kuishinda ile inchi, Waisraeli wote pamoja wakakusanyika kule Shilo na kulisimika hema la kusanyiko.
Basi, kulingana na amri ya Yawe, Waisraeli walichagua kutoka katika maeneo ya inchi zao, miji na vijiji vya malisho, wakawapa Walawi ikuwe sehemu yao.