Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Yoshua 19:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Kutokea Saridi, mupaka ule ulielekea mashariki hata kwenye mupaka wa Kisiloti-Tabori, na kutokea kule ukapita Daberati mpaka Yafia.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Yoshua 19:12
8 Σταυροειδείς Αναφορές  

Mbingu ni zako na dunia ni yako pia; ni wewe uliyeumba ulimwengu na vyote vinavyokuwa ndani yake.


Kutokea kule mupaka wake ulikwenda upande wa magaribi hata Marali, ukapitia pembeni ya Dabeseti na kwenda kwenye kijito kinachokuwa upande wa mashariki wa Yokinamu.


Kutokea Yafia uliendelea upande wa mashariki hata Gati-Heferi, Eti-Kasini, na kuendelea mpaka Rimoni ambako ulipanda kuelekea Nea.


Katika eneo la kabila la Isakari, walipewa Kisioni pamoja na mbuga zake za malisho, Daberati pamoja na mbuga zake za malisho,


Sisera alipopata habari kwamba Baraka mwana wa Abinoamu amekwenda kwenye mulima Tabori,


Siku moja akamwita Baraka mwana wa Abinoamu wa Kedesi katika inchi ya Nafutali. Alipokuja akamwambia: “Yawe, Mungu wa Israeli, anakuamuru hivi: ‘Kwenda ukusanye watu wako kwenye mulima Tabori, uchague watu elfu kumi kutoka makabila ya Nafutali na Zebuluni.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις