Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Yoshua 18:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Muchague watu watatu kutoka kila kabila niwatume katika inchi yote wachunguze na kuchapa taswira kulingana na makabila yao, kisha waniletee habari.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Yoshua 18:4
9 Σταυροειδείς Αναφορές  

Kwa hiyo hamutagawanyiwa sehemu yoyote ya inchi kati ya watu wa Yawe.


Kiongozi mumoja wa jamaa kutoka kila kabila atakusaidia kufanya hesabu.


Tuma watu waende wapeleleze inchi ya Kanana ambayo ninawapa watu wa Israeli. Utatuma mutu mumoja kutoka katika kila kabila, na mutu huyo anapaswa kuwa kiongozi katika kabila lake.


Kwa hiyo, Yoshua akawaambia Waisraeli: “Mutangojea mpaka wakati gani kwenda kuikamata inchi ile ambayo Yawe, Mungu wa babu zenu, amewapatia?


Nao wataigawanya inchi hiyo kwa sehemu saba. Kabila la Yuda litabaki na sehemu yake ya kusini na kabila la Yosefu kaskazini.


Mutayarishe maelezo kamili juu ya sehemu zote saba na kuniletea. Hapo, nitapiga kura mbele ya Yawe, Mungu wetu, juu ya sehemu ya kila kabila lenu.


Wanaume hao wakazunguka katika inchi yote, wakachapa taswira kamili juu ya sehemu zake saba pamoja na miji yake, kisha wakarudi kwa Yoshua kule katika kambi Shilo.


Sasa, muchague watu kumi na wawili kutoka makabila ya Israeli, kila kabila mutu mumoja.


“Chagua watu kumi na wawili kati ya hao Waisraeli, ni kusema mutu mumoja kutoka kila kabila,


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις