2 Kulikuwa kunabaki kati yao makabila saba ambayo hayakuwa yamegawanyiwa sehemu yao ya inchi.
Nyuma ya kuishinda ile inchi, Waisraeli wote pamoja wakakusanyika kule Shilo na kulisimika hema la kusanyiko.
Kwa hiyo, Yoshua akawaambia Waisraeli: “Mutangojea mpaka wakati gani kwenda kuikamata inchi ile ambayo Yawe, Mungu wa babu zenu, amewapatia?