Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Yoshua 18:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

17 Kule, mupaka uligeuka kwenda kaskazini kuelekea Eni-Semesi, ukapitia Geliloti karibu na mwinuko wa Adumimu na kuteremuka mpaka kwenye jiwe la Bohani mwana wa Rubeni.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Yoshua 18:17
3 Σταυροειδείς Αναφορές  

Mupaka huo ukapita Beti-Hogla na kaskazini ya Beti-Araba mpaka kwenye jiwe la Bohani mwana wa Rubeni.


Kutoka hapo, uliendelea mpaka Debiri kwenye bonde la Akori na kaskazini kuelekea Gilgali, karibu na mwinuko wa Adumimu ambao uko upande wa kusini wa kijito, kisha ukaelekea kwenye chemichemi za Eni-Semesi na kuishia Eni-Rogeli.


Kutoka pale, mupaka ulizunguka upande wa kaskazini kwenye ukingo wa juu wa Araba na kuishia kule Araba.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις