Yoshua 18:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200213 Kutoka kule, mupaka wake ulikwenda kusini kuelekea Luzi kupitia upande wa kusini wa Luzi, ni kusema Beteli, hata Ataroti-Adari, kwenye mulima unaokuwa upande wa kusini wa Beti-Horoni ya Chini. Δείτε το κεφάλαιο |