Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Yoshua 18:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Kutoka kule, mupaka wake ulikwenda kusini kuelekea Luzi kupitia upande wa kusini wa Luzi, ni kusema Beteli, hata Ataroti-Adari, kwenye mulima unaokuwa upande wa kusini wa Beti-Horoni ya Chini.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Yoshua 18:13
10 Σταυροειδείς Αναφορές  

Akaita pahali hapo Beteli, ni kusema “Nyumba ya Mungu”. Jina la mbele la muji ule lilikuwa Luzi.


Watu wa kabila la Benjamina walikaa Geba, Mikimasi, Ai, Beteli na vijiji vinavyoizunguka.


Walipokuwa wakiwakimbia Waisraeli kwenye muteremuko wa Beti-Horoni, Yawe akawanyeshea mvua ya mawe makubwa kutoka mbinguni wakiwa katika njia mpaka Azeka hata waliouawa kwa mawe hayo wakakuwa wengi kuliko waliouawa kwa silaha za Waisraeli.


Watu wa kabila la Efuraimu kulingana na jamaa zao walipata sehemu yao ambayo mupaka wake upande wa mashariki ulipita Ataroti-Adari hata Beti-Horoni ya Juu,


Upande wa magaribi wa mulima huo unaokuwa upande wa kusini wa Beti-Horoni, mupaka uligeuka ukaelekea kusini hata Kiriati-Bali, muji unaoitwa vilevile Kiriati-Yearimu, muji ambao ni mali ya kabila la Yuda. Huu ndio uliokuwa mupaka wake upande wa magaribi.


Kibusaimu pamoja na mbuga zake za malisho na Beti-Horoni pamoja na mbuga zake za malisho. Jumla ya miji waliyopewa ni mine.


Kikundi kingine kilielekea Beti-Horoni, na kikundi kingine kikageukia njia inayoelekea bonde la Zeboimu, kuelekea katika jangwa.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις