Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Yoshua 16:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Wazao wa Yosefu, ni kusema kabila la Manase na kabila la Efuraimu, walipewa inchi hiyo kuwa urizi wao.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Yoshua 16:4
6 Σταυροειδείς Αναφορές  

Mwana wake wa pili akamwita Efuraimu, akisema: “Mungu amenipa watoto katika inchi ya mateso yangu.”


Bwana wetu Yawe anasema hivi: Hii ndiyo mipaka ya inchi mutakayoigawanyia makabila kumi na mawili ya Waisraeli. Lakini kabila la Yosefu lipewe mara mbili.


Wazao wa Yosefu walikuwa makabila mawili: Manase na Efuraimu. Kabila la Lawi halikupewa sehemu yoyote ya inchi, lakini miji tu ya kuishi na mashamba ya malisho kwa ajili ya nyama wao na riziki zao.


Watu wa kabila la Efuraimu kulingana na jamaa zao walipata sehemu yao ambayo mupaka wake upande wa mashariki ulipita Ataroti-Adari hata Beti-Horoni ya Juu,


Watu wa kabila la Yosefu walimwendea Yoshua, wakamwambia: “Kwa nini umetugawanyia sehemu moja tu ya inchi sisi ambao Yawe ametubariki hata akatufanya tukuwe wengi sana?”


Nao wataigawanya inchi hiyo kwa sehemu saba. Kabila la Yuda litabaki na sehemu yake ya kusini na kabila la Yosefu kaskazini.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις