Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Yoshua 15:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

17 Basi, Otinieli mwana wa Kenazi, ndugu ya Kalebu, akauteka muji huo, naye Kalebu akamupa binti yake.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Yoshua 15:17
9 Σταυροειδείς Αναφορές  

Wana wa Kenasi walikuwa: Otieli na Seraya. Wana wa Otieli walikuwa: Hatati na Meonotai.


Wote hawataiona, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune wa ukoo wa Kenizi na Yoshua mwana wa Nuni, maana wao wamenitii kwa ukamilifu.


Siku moja watu wa kabila la Yuda wakamwendea Yoshua kule Gilgali. Kalebu mwana wa Yefune, ambaye alikuwa Mukenizi, akamwambia Yoshua: “Bila shaka unakumbuka jinsi Yawe alivyomwambia Musa, mutu wa Mungu, juu yangu na wewe tulipokuwa Kadesi-Barnea.


Kalebu akatangaza kwamba atamwoesha binti yake Akisa kwa mwanaume yeyote atakayeuteka muji wa Kiriati-Seferi.


Basi, Otinieli mwana wa Kenazi na mudogo wa Kalebu, akauteka, naye Kalebu akamutoa binti yake Akisa aolewe na Otinieli.


Inchi ikakuwa na amani kwa muda wa miaka makumi ine. Kisha Otinieli mwana wa Kenazi, akakufa.


Waisraeli wakamulilia Yawe, naye akawapelekea mutu wa kuwakomboa, ni kusema Otinieli mwana wa Kenazi, ndugu mudogo wa Kalebu.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις