Yoshua 15:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20021 Eneo la inchi watu wa kabila la Yuda walilopewa kwa kura kulingana na jamaa zake lilienea tangu kusini mashariki mpaka kwa mupaka wa Edomu. Sehemu ya kusini kabisa ilikuwa jangwa la Sini. Δείτε το κεφάλαιο |