Yoshua 14:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20024 Wazao wa Yosefu walikuwa makabila mawili: Manase na Efuraimu. Kabila la Lawi halikupewa sehemu yoyote ya inchi, lakini miji tu ya kuishi na mashamba ya malisho kwa ajili ya nyama wao na riziki zao. Δείτε το κεφάλαιο |