Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Yoshua 14:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

14 Kwa hiyo, muji wa Hebroni ni sehemu yao wazao wa Kalebu mwana wa Yefune Mukenizi mpaka hivi leo, kwa sababu Kalebu alikuwa mwaminifu kwa Yawe, Mungu wa Israeli.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Yoshua 14:14
9 Σταυροειδείς Αναφορές  

Baba yake akamwambia: “Kwenda uwaangalie wandugu zako na nyama kama wako salama, kisha uniletee habari.” Basi, Yakobo akamutuma Yosefu kutoka bonde la Hebroni. Yosefu alipokaribia Sekemu,


Lakini mashamba katika muji pamoja na mashamba yake ya malisho yalitolewa kwa Kalebu mwana wa Yefune.


Lakini ninyi mujipe moyo, wala musiregee kwa maana mutapata malipo kwa kazi munayofanya.”


Basi wandugu zangu wapenzi, musimame imara bila kutikisika. Muendelee kumutumikia Bwana siku zote, mukijua kwamba masumbuko munayopata kwa ajili ya Bwana hayatapita bure.


Basi, Yoshua akaitwaa inchi yote kulingana na yote yale Yawe aliyomwambia Musa. Yoshua akaipatia Waisraeli ikuwe mali yao, wagawanyane kulingana na makabila yao. Kisha inchi nzima ikatulia, ikakuwa haina vita tena.


Halafu Yoshua akamubariki Kalebu mwana wa Yefune na kumupa muji wa Hebroni kuwa sehemu yake.


Muji wa Hebroni zamani uliitwa Kiriati-Arba. Arba alikuwa mutu mukubwa kuliko wote kati ya Waanaki. Inchi nzima ikakuwa tulivu bila vita.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις