Yoshua 13:29 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200229 Tena, Musa alikuwa ameipatia nusu ya kabila la Manase kulingana na ukoo zake, Δείτε το κεφάλαιο |
“Murudie kwenu na utajiri mwingi; ngombe wenu wote, feza, zahabu, shaba, chuma na nguo nyingi. Mugawanyane na wandugu zenu vitu vyote mulivyonyanganya kutoka kwa waadui zenu.” Musa alikuwa amepatia nusu ya kabila la Manase sehemu yao kule Basani. Naye Yoshua akaipatia nusu ya pili ya kabila lile sehemu yao kule upande wa magaribi wa muto Yordani kama vile alivyoyapatia makabila yale mengine.