Yoshua 13:27 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200227 Vilevile miji iliyokuwa katika bonde la Beti-Haramu, Beti-Nimura, Sukoti na Zafoni na inchi yote iliyokuwa ya mufalme Sihoni wa Hesiboni; eneo hilo lilikuwa upande wa mashariki wa Yordani na kupakana na upande wa kusini wa bahari ya Kineroti. Δείτε το κεφάλαιο |