20 mufalme wa Simuroni-Meroni, mufalme wa Akisafu,
Mufalme Yabini wa muji wa Hazori alipopata habari hizo, alipeleka ujumbe kwa mufalme Yobabu wa Madoni, kwa mufalme wa Simuroni na mufalme wa Akisafu,
mufalme wa Madoni, mufalme wa Hazori,
mufalme wa Tanaki, mufalme wa Megido,
Ukakusanya miji ya Katati, Nahalali, Simuroni, Idala na Betelehemu. Jumla ya miji waliyopewa ni kumi na miwili pamoja na vijiji vyake.
Eneo la inchi yao lilikuwa na miji ya: Helkati, Hali, Beteni, Akisafu,