Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Yoshua 12:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 mufalme wa Makeda, mufalme wa Beteli,

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Yoshua 12:16
7 Σταυροειδείς Αναφορές  

Kisha Abramu akaondoka, akaelekea kwenye mulima upande wa mashariki ya Beteli akapiga hema kati ya muji wa Beteli, upande wa magaribi, na muji wa Ai upande wa mashariki. Pale vilevile akamujengea Yawe mazabahu na kumwomba kwa jina lake.


Akaita pahali hapo Beteli, ni kusema “Nyumba ya Mungu”. Jina la mbele la muji ule lilikuwa Luzi.


Siku hiyo Yoshua alipouteka muji wa Makeda, alimuua mufalme wake na wakaaji wake wote bila kuacha hata mutu mumoja. Alimutendea mufalme wa Makeda kama vile alivyomutendea mufalme wa Yeriko.


mufalme wa Libuna, mufalme wa Adulamu,


mufalme wa Tapua, mufalme wa Heferi,


Hakuna mutu yeyote aliyebaki katika muji wa Ai, waliuacha muji ule wazi wakaenda kuwafuatilia Waisraeli.


Watu wa makabila ya Yosefu waliushambulia muji wa Beteli, naye Yawe alikuwa pamoja nao.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις