Yoshua 10:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20024 “Mukuje munisaidie tuwaangamize Wagibeoni, maana wamefanya mapatano ya amani na Yoshua pamoja na Waisraeli.” Δείτε το κεφάλαιο |
Mufalme Adoni-Zedeki wa Yerusalema akapata habari juu ya jinsi Yoshua alivyouteka muji wa Ai na kuuharibu kabisa akiutendea muji huo na mufalme wake kama alivyoutendea Yeriko na mufalme wake. Vilevile akapata habari kwamba wakaaji wa Gibeoni walikuwa wamefanya mapatano ya amani na Waisraeli na kwamba sasa wanaishi kati yao.