Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Yoshua 10:36 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

36 Halafu kutoka Eguloni Yoshua na Waisraeli wote wakaenda mpaka Hebroni, wakaushambulia

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Yoshua 10:36
17 Σταυροειδείς Αναφορές  

Kwa hiyo, Abramu akaongoa hema, akakwenda kukaa karibu na mielo ya Mamure kule Hebroni. Kule akajengea Yawe mazabahu.


Siku kwa siku, watu walijiunga na Daudi kwa kumusaidia, na nyuma akakuwa na kundi kubwa sana la waaskari, kama jeshi la Mungu.


Yehoyada, wa uzao wa Haruni na wenzake: watu elfu tatu na mia saba.


Zora, Ayaloni na Hebroni. Miji hiyo yenye kuzungukwa kuta iko Yuda na Benjamina.


Wakakwenda mpaka Negebu wakapita mpaka muji wa Hebroni. Humo wakawakuta Waahimani, Wasesai na Watalmai, wazao wa Anaki. (Muji wa Hebroni ulikuwa umejengwa miaka saba mbele ya muji wa Soani unaokuwa katika inchi ya Misri).


Basi, Mufalme Adoni-Zedeki akapeleka ujumbe kwa mufalme Hohamu wa Hebroni, mufalme Piramu wa Yarmuti, mufalme Yafia wa Lakisi na mufalme Debiri wa Eguloni, akawaambia:


Wakauteka siku hiyohiyo na kuwaua wakaaji wake wote kama walivyofanya kule Lakisi.


na kuuteka. Wakawaua wakaaji wake wote pamoja na mufalme wao; waliiharibu kabisa miji mingine iliyouzunguka, wakawaua wakaaji wake wote kama walivyofanya kule Eguloni.


Kisha wafalme hao watano wa Waamori: mufalme wa Yerusalema, mufalme wa Hebroni, mufalme wa Yarmuti, mufalme wa Lakisi na mufalme wa Eguloni, wakaunganisha waaskari wao, wakaenda nao mpaka Gibeoni. Wakapiga kambi kuuzunguka muji huo, wakaushambulia.


Kalebu mwana wa Yefune, alipewa sehemu ya inchi ya Yuda kama vile Yawe alivyomwamuru Yoshua. Alipewa Kiriati-Arba au muji wa Arba ambaye alikuwa babu wa Anaki. Muji huo sasa unaitwa Hebroni.


Zaidi ya kuwapa wazao wa kuhani Haruni muji wa Hebroni ambao vilevile ulikuwa umetengwa kuwa muji wa kukimbilia usalama, waliwapa miji ya Libuna pamoja na mbuga zake za malisho;


Waliwashambulia vilevile Wakanana walioishi katika muji wa Hebroni ambao zamani uliitwa Kiriati-Arba, wakashinda makabila ya Sesai, Ahimani na Talmayi.


Muji wa Hebroni ukapewa kwa Kalebu kufuatana na maagizo ya Musa. Kalebu akazifukuza kutoka kule ukoo tatu za Anaki.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις