Yoane 9:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200216 Wafarisayo wamoja wakasema: “Mutu huyu hakutoka kwa Mungu kwa sababu hashiki sheria ya siku ya Sabato.” Lakini wengine wakasema: “Mutu mwenye zambi anaweza kuonyesha kitambulisho kama hiki?” Basi kukatokea mikorogano kati yao. Δείτε το κεφάλαιο |