12 Nao wakamwuliza tena: “Yule mutu yuko wapi?” Akajibu: “Sijui.”
Wayuda walikuwa wakimutafuta kwenye sikukuu ile na kuuliza kwamba yeye yuko wapi.
Akajibu: “Mutu yule anayeitwa Yesu alifanya matope kidogo na kuyapakaa kwa macho yangu, na kuniambia kwamba niende kunawa uso katika kisima cha Siloamu. Nami nikaenda, nikanawa, na halafu nikapata kuona.”
Wakamupeleka yule mutu aliyekuwa kipofu kwa Wafarisayo.