47 Lakini ikiwa hamusadiki yale Musa aliyoandika, namna gani mutasadiki maneno ninayosema?”
Abrahamu akajibu: ‘Wandugu zako wako na maandiko ya Musa na ya manabii, wayasikilize!’
Lakini Abrahamu akamwambia: ‘Kama wandugu zako hawasikilizi maonyo ya Musa na ya manabii, hawatasadiki hata mutu aliyefufuka.’ ”
Tena, tangia utoto wako unajua Maandiko Matakatifu yanayoweza kukupatia hekima kusudi uokolewe kwa njia ya kumwamini Kristo Yesu.