Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Yoane 4:32 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

32 Lakini akawajibu: “Mimi nina chakula musichokijua.”

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Yoane 4:32
13 Σταυροειδείς Αναφορές  

Sijaacha hata kidogo kushika amri yake; maneno yake nimeyatunza ndani ya moyo wangu.


Maagizo yako ni matamu sana kwangu; ni matamu kuliko asali!


Yawe ni rafiki ya wale wanaomwabudu; yeye anawajulisha agano lake.


Nitakushukuru maisha yangu yote, nitakuomba nikikuinulia mikono yangu.


Moyo unajua uchungu wake wenyewe, wala mugeni hawezi kushiriki furaha yake.


Maneno ya mutu yanaweza kumushibisha; anatosheka kwa matokeo ya maneno yake.


Mungu anasema: Kisha kutaabika sana, mutumishi wangu atafurahi. Kwa njia ya kujulikana kwa huyo mutumishi wangu wa haki, atawafanya wengi wakuwe wenye haki, naye atazibeba zambi zao.


Palepale maneno yako yaliponifikia, niliyameza; nayo yakanifurahisha, yakakuwa matamu katika moyo wangu, maana mimi ninajulikana kwa jina lako, ee Yawe wa majeshi.


Wakati ule wanafunzi wa Yesu walimusihi, wakisema: “Mwalimu, kula chakula.”


Basi wanafunzi wakaanza kuulizana: “Kuna mutu aliyemuletea chakula?”


Yesu akawaambia: “Chakula changu ni kufanya mapenzi ya yule aliyenituma na kutimiza kazi yake.


Katika mambo hayo yote niliyofanya, nimewaonyesha mufano kwamba tunapaswa kusumbuka vile na kazi kwa kuwasaidia wasiojiweza, tukikumbuka maneno haya Bwana Yesu mwenyewe aliyosema: ‘Ni heri kutoa kuliko kupewa.’ ”


“Mwenye kuwa na masikio, asikie vizuri vile Roho anavyoyaambia makanisa! “Yule atakayeshinda, nitamupa ile mana iliyofichwa. Na nitamupa vilevile jiwe dogo jeupe, na juu yake kumeandikwa jina jipya ambalo hakuna mutu yeyote anayelijua, isipokuwa tu yule anayelipewa.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις