Yoane 17:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200212 Wakati nilipokuwa pamoja nao, niliwalinda kwa uwezo wa jina lako, ndilo lile jina ulilonipa. Nimewachunga wala hakuna mumoja wao aliyepotea, isipokuwa yule anayepaswa kupotea, kusudi Maandiko Matakatifu yatimizwe. Δείτε το κεφάλαιο |