6 Alipofika kwenye Simoni Petro, Petro akamwambia: “Bwana, ni kweli wewe utaninawisha miguu?”
Simoni Petro alipoona mambo hayo, akapiga magoti mbele ya Yesu na kusema: “Bwana, utoke karibu nami, kwa sababu mimi ni mutu mwenye zambi!”
anayekuja nyuma yangu. Mimi sistahili hata kufungua kamba za viatu vyake.”
Kisha akatia maji ndani ya bakuli, na kuanza kunawisha miguu ya wanafunzi wake na kuipanguza na kile kitambaa alichokifunga katika kiuno.
Yesu akamujibu: “Sasa hauelewi jambo ninalofanya, lakini utalielewa nyuma.”