Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Yoane 11:47 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

47 Basi wakubwa wa makuhani na Wafarisayo wakakusanya Baraza yao Kubwa, na kusema: “Tufanye nini kwa kuona mutu huyu anaonyesha vitambulisho vingi?

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Yoane 11:47
17 Σταυροειδείς Αναφορές  

Wakubwa wa makuhani na wasimamizi wa watu wakakusanyika ndani ya nyumba ya Kuhani Mukubwa, aliyeitwa Kayafa,


Basi Wafarisayo wakasemezana hivi: “Hamwoni kwamba hatuwezi kufanya kitu? Angalia, dunia nzima inamufuata!”


Nao wakubwa wa makuhani na Wafarisayo walikuwa wametoa amri kwamba mutu akijua pahali Yesu alipokuwa, alete habari kusudi wapate kumufunga.


Ni vile Yesu alivyofanya kitambulisho chake cha kwanza katika Kana ya Galilaya. Pale alionyesha utukufu wake na wanafunzi wake wakamwamini.


Lakini mimi ninawaambia: mutu yeyote anayemukasirikia ndugu yake anapaswa kuhukumiwa. Naye anayemwambia ndugu yake: ‘Hauna akili wewe!’ anapaswa kupelekwa kwenye tribinali kubwa. Naye anayemwambia: ‘Uko mwenda-wazimu!’ anastahili kutupwa katika jehenamu.


Mukubwa wa walinzi wa hekalu na wakubwa wa makuhani waliposikia habari hii, wakakuwa na wasiwasi sana, wakijiuliza ni nini itakayotokea.


Na sawa vile walivyoambiwa, asubui mapema wakaingia ndani ya hekalu, na kuanza kuwafundisha watu. Kuhani Mukubwa na wale washiriki walipofika, wakawakusanya wasimamizi wote wa Waisraeli kwa kufanya mukutano wa Baraza Kubwa. Nao wakawatuma watu kwenye kifungo kwa kuwaleta mitume.


Wakubwa wa makuhani na walimu wa Sheria walitafuta njia ya kumwua Yesu, lakini waliogopa watu.


Kulikuwa kumebaki siku mbili mbele ya kutimia kwa sikukuu ya Pasaka na ya Mukate Usiyotiwa Chachu. Wakubwa wa makuhani na walimu wa Sheria walitafuta njia ya kumukamata Yesu kwa werevu kusudi wamwue.


Kundi kubwa la watu wakamufuata, kwa sababu watu hao waliona vitambulisho alivyoonyesha kwa kuponyesha wagonjwa.


Wafarisayo wakasikia maneno hayo watu waliyosemasema juu ya Yesu. Basi wakubwa wa makuhani na Wafarisayo wakatuma walinzi wao kumufunga.


Kisha wale walinzi wakarudi kwa wakubwa wa makuhani na Wafarisayo. Nao wakawauliza walinzi: “Sababu gani hamukuleta Yesu?”


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις