Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Yoane 11:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 (Huyu Maria ndiye yule aliyemupakaa Bwana marasi na kupanguza miguu yake na nywele zake, na ni Lazaro kaka yake ndiye alikuwa mugonjwa.)

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Yoane 11:2
11 Σταυροειδείς Αναφορές  

Yesu alikuwa Betania katika nyumba ya mutu aliyeitwa Simoni Mukoma. Walipokuwa wakikula, mwanamuke mumoja akaingia ndani ya nyumba. Alikuwa na chupa la jiwe lenye marasi ya bei kali yaliyotengenezwa na maua ya nardo safi. Kisha akavunja mudomo wa lile chupa na kumimia marasi juu ya kichwa cha Yesu.


Bwana alipomwona yule mama, akamusikilia huruma na kumwambia: “Usilie.”


na kuwatuma kwa Bwana kumwuliza: “Wewe ndiwe yule aliyepaswa kuja kutuokoa au tumungojee mwingine?”


Marta akamwambia Yesu: “Bwana, kama ungekuwa hapa, kaka yangu hangekufa.


Hawa wadada wawili wakatuma habari hii kwa Yesu: “Bwana, rafiki yako mupendwa ni mugonjwa.”


Maria alipofika pale Yesu alipokuwa na kumwona, akaanguka kwenye miguu yake na kusema: “Bwana, kama ungekuwa hapa, kaka yangu hangekufa.”


Halafu Maria akatwaa nusu ya litre ya marasi ya bei kali, yaliyotengenezwa na maua ya nardo safi. Akaipakaa kwa miguu ya Yesu na kuipanguza na nywele zake. Nyumba yote ikajaa harufu ya marasi.


Munaniita ‘Mwalimu’ na ‘Bwana,’ na munasema kweli, maana ni vile ninavyokuwa.


Basi kama mimi ninayekuwa Bwana na Mwalimu wenu nimewanawisha miguu, ninyi vilevile munapaswa kunawishana miguu.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις