Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Yoane 1:40 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

40 Andrea, ndugu ya Simoni Petro, alikuwa mumoja wa wale wawili waliosikia maneno ya Yoane na kumufuata Yesu.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Yoane 1:40
11 Σταυροειδείς Αναφορές  

Na haya ndiyo majina ya hao mitume wake kumi na wawili: kwanza Simoni (anayeitwa vilevile Petro) na ndugu yake Andrea; Yakobo na ndugu yake Yoane, ambao ni wana wa Zebedayo;


Walipofika katika muji wakapanda katika chumba cha gorofi walipokuwa wanazoea kukutanana. Na waliokuwa pale ni hawa: Petro, Yoane, Yakobo, Andrea, Filipo, Toma, Bartolomayo, Matayo, Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni wa kikundi cha Wazeloti na Yuda mwana wa Yakobo.


Mwanafunzi wake mwingine mumoja anayeitwa Andrea, ndugu ya Simoni Petro, akamwambia:


Siku moja, Yesu alisimama pembeni ya ziwa la Genezareti na watu wengi walimusongasonga kusudi wasikie neno la Mungu.


Naye akawajibu: “Mukuje na mutaona.” Basi wakaenda, wakaona pahali alipokaa, wakabaki pamoja naye siku ile. (Ilikuwa karibu na saa kumi ya magaribi.)


Yesu alialikwa vilevile kwenye ndoa ile pamoja na wanafunzi wake.


Basi wanafunzi wakaanza kuulizana: “Kuna mutu aliyemuletea chakula?”


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις