20 Yoane aliwajibu hivi waziwazi bila kukana: “Mimi si Kristo.”
Yeye mwenyewe hakukuwa mwangaza ule, lakini alikuja tu kuushuhudia.
Na Yoane alipokaribia kwa mwisho wa kazi yake, alisema: ‘Munafikiri mimi ni nani? Mimi siko yule munayengojea. Lakini angalia, nyuma yangu kutakuja mutu ambaye mimi sistahili hata kufungua kamba za viatu vyake.’