Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Yakobo 3:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Lakini hakuna mutu mumoja anayeweza kufuga ulimi, maana ni uovu usiotulia, unajaa sumu yenye kuua.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Yakobo 3:8
13 Σταυροειδείς Αναφορές  

Watu hao wanafikiri mabaya siku zote, wanaamusha ugomvi kila mara.


Mwenzangu amemushambulia rafiki yake, amevunja mapatano yake.


Atanipelekea musaada toka mbinguni na kuniokoa, atawafezehesha hao wanaonishambulia. Mungu atanionyesha wema na uaminifu wake!


Waovu wamepotoka tangu kuzaliwa kwao, hao waongo wamekosa tangu walipozaliwa.


Kila magaribi waadui hao wanarudi wakifoka kama imbwa, na kuzungukazunguka katika muji.


Mwenye moyo mupotovu hafanikiwi, na musema uongo anapatwa na hasara.


Nyoka ya muchawi ikiuma mbele haijachochewa, hakuna faida tena kwa muchawi.


Vinywa vyao ni kama kaburi wazi, ndimi zao ni za kudanganya, ndani ya midomo yao munatoka sumu kali sawa ya nyoka.


Divai yao ni kama sumu ya nyoka, ina sumu kali ya nyoka kubwa.


Nao ulimi ni kama moto. Ulimi ni kiungo kinachojaa ubaya wa kila namna. Ulimi unapatikana kwenye nafasi yake katikati ya viungo vyetu, nao ndio unaochafua mwili wote. Unateketeza maisha yetu ukichomwa wenyewe na moto unaotoka katika jehenamu.


Kila namna ya nyama, ndege, nyoka na samaki wanaweza kufugwa na mutu, na wamekwisha kufugwa naye.


Basi yule nyoka mukubwa akafukuzwa. Yeye ndiye yule nyoka wa zamani anayeitwa “Mwovu” au “Shetani,” anayedanganya watu wote. Akatupwa katika dunia pamoja na wamalaika zake.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις