2 Uwaambie Haruni, wana wake na watu wote wa Israeli maagizo haya:
Wana wa Amuramu walikuwa: Haruni na Musa. Haruni alichaguliwa kwa kazi inayoelekea vitu vitakatifu kabisa, hata wazao wake siku zote wafukizie ubani mbele ya Yawe, wakimutumikia na kuwabariki watu katika jina la Yawe milele.
Yawe akamwambia Musa:
Kama mutu yeyote kati ya Waisraeli akichinja ngombe au mwana-kondoo au mbuzi ndani au inje ya kambi,
Mufanye angalisho musitoe sadaka zenu za kuteketezwa pahali popote munapoona;