Waebrania 12:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200218 Ninyi hamujafikia kwenye kitu kinachoweza kuguswa kama vile Waisraeli walivyofikia kwenye mulima Sinai. Mulima ule uliwaka moto, ulifunikwa na giza nzito, nao ulikuwa na uvumi wa zoruba juu yake. Δείτε το κεφάλαιο |