Waebrania 11:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20029 Kwa njia ya imani, aliishi kama vile mugeni katika inchi ile Mungu aliyomwahidi. Yeye alikuwa akiishi katika hema kama vile Isaka na Yakobo walivyoishi. Wao vilevile walishiriki pamoja naye ahadi ile ile ya Mungu. Δείτε το κεφάλαιο |