17 Naye anaongeza kusema: “Nami sitakumbuka tena zambi wala maovu yao.”
Siku zinakuja ambapo nitafanya agano jipya na watu wa Israeli na watu wa Yuda.
Wala hawatafundishana tena kila mutu na jirani yake, na kila mutu na ndugu yake na kusema “Mumujue Yawe”, kwa sababu wote, wadogo kama vile wakubwa, watanijua mimi Mungu. Maana nitawasamehe makosa yao, wala sitazikumbuka tena zambi zao.
Basi wakati zambi zinaposamehewa, hakuna tena hitaji la kutoa sadaka kwa ajili ya usamehe wa zambi.
Mimi nitawasamehe maovu yao, wala sitakumbuka tena zambi zao.”