Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Tito 2:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Vilevile uwaonye vijana wanaume wakuwe wenye utaratibu katika mambo yote.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Tito 2:6
9 Σταυροειδείς Αναφορές  

vijana waliponiona walisimama pembeni, na wazee walisimama wima kwa heshima.


Mumusifu, enyi vijana wanaume na wabinti; wazee wote na watoto!


Ewe kijana, furahia ujana wako, moyo wako ukuwe na raha wakati ungali kijana. Fuata mapenzi ya moyo wako na tamaa ya macho yako. Lakini kumbuka kwamba Mungu atakuhukumu kadiri ya hayo yote.


Ukumbuke Muumba wako siku za ujana wako wakati hazijafika siku mbaya wala haijakaribia miaka utakaposema: “Sina furaha katika vitu hivyo.”


Basi tusilale usingizi kama vile wengine, lakini tukeshe na kuwa wakadirifu.


Usimukaripie muzee kwa nguvu, lakini umwonye kama baba yako. Uwatendee vijana wanaume kama wandugu zako,


Na hivi vilevile, ninyi vijana, munapaswa kuwatii hao wazee. Ninyi wote munapaswa kuwa na unyenyekevu, mupate kutumikiana; maana Maandiko Matakatifu yanasema: “Mungu anawapinga wenye kiburi, lakini anawajalia wanyenyekevu neema.”


Ninawaandikia ninyi wababa, kwa sababu mumemujua yule aliyekuwa tangu mwanzo wa vitu vyote. Ninawaandikia ninyi vijana kwa sababu mumemushinda yule Mwovu.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις