Tito 1:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20027 Kwa maana musimamizi wa kanisa anapaswa kuwa mutu asiyeshitakiwa neno, kwa sababu yeye ni mwangalizi wa kazi ya Mungu. Hapaswi kuwa mutu mwenye kiburi, wala mukali, mulevi, mugomvi wala mwenye kutafuta mali kwa njia mbaya. Δείτε το κεφάλαιο |