Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Nehemia 9:28 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

28 Lakini amani ilipopatikana wakatenda zambi tena mbele yako, nawe ukawaacha watiwe katika mikono ya waadui zao wawatawale. Hata hivyo, walipotubu na kukulilia ukawasikiliza kutoka mbinguni. Na kwa kulingana na rehema zako nyingi, ukawaokoa mara nyingi.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Nehemia 9:28
12 Σταυροειδείς Αναφορές  

basi, usikilize kule kwako mbinguni, uwasamehe na kumutendea kila mutu kwa kadiri anavyostahili, maana ni wewe tu unayejua mawazo ya mioyo ya wanadamu wote,


Waadui zao waliwagandamiza, wakawatumikisha kwa nguvu.


Akatuokoa kutoka waadui zetu. Wema wake unadumu milele.


Utuchungulie kutoka mbinguni, ee Mungu, uone, utuangalie kutoka makao yako matakatifu na matukufu. Iko wapi bidii yako kwa ajili yetu na nguvu yako? Hatuoni tena upendo na huruma yako.


Lakini kila mara mwamuzi alipokufa walirudilia mienendo yao ya zamani, wakaishi vibaya kuliko babu zao. Waliifuata miungu mingine, wakaitumikia na kuinama mbele yao, wala hawakuyaacha matendo yao wala uasi wao.


Siku hiyo Waisraeli wakawashinda Wamoabu. Inchi ikakuwa na amani kwa muda wa miaka makumi nane.


Nyuma ya kifo cha Ehudu, Waisraeli walitenda tena uovu mbele ya Yawe.


“Ee Yawe, waangamie waadui zako wote! Lakini warafiki zako wakuwe kama jua, wakati linapochomoza kwa mwangaza mukubwa!” Inchi ya Waisraeli ikakuwa na amani kwa muda wa miaka makumi ine.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις