Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Nehemia 7:65 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

65 Mutawala akawaambia kwamba hawaruhusiwi kushiriki kwa chakula kitakatifu sana, mpaka kuhani anayeweza kutumia Urimu na Tumimu afike.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Nehemia 7:65
16 Σταυροειδείς Αναφορές  

Mutawala akawaambia kwamba hawaruhusiwi kushiriki chakula kitakatifu sana, mpaka kukuwe kuhani atakayeweza kutoa shauri kwa njia Urimu na Tumimu.


Kutokana na haya yote yaliyotokea, sisi tunaweka agano imara kwa maandiko na wakubwa wetu, Walawi na makuhani wanatia sahihi zao na muhuri wao.


Hao walitafuta kitabu cha vizazi vyao kati ya wengine walioandikwa katika kitabu cha ukumbusho za ukoo, lakini ukoo wao haukuonekana. Kwa hiyo hawakuruhusiwa kutiwa katika kazi ya ukuhani maana walihesabiwa kuwa wachafu.


Hii ni jumla ya watu waliorudi kutoka katika uhamisho, pamoja na watumishi na nyama wao. Waisraeli: elfu makumi ine na mbili mia tatu na makumi sita; Watumishi wanaume na wanawake: elfu saba mia tatu makumi tatu na saba; Waimbaji wanaume na wanawake: mia mbili makumi ine na watano; Ngamia: mia ine makumi tatu na watano; Punda: elfu sita mia saba na makumi mbili.


Wakubwa wa ukoo walitoa kilo mia moja makumi sita na nane za zahabu, na kilo elfu moja mia mbili na makumi tano za feza.


Watu waliposikia Sheria, wakaguswa ndani ya mioyo yao, halafu wote wakaanza kulia. Hivyo Nehemia aliyekuwa mutawala na Ezra kuhani na mwandishi, pamoja na Walawi waliofundisha watu wakawaambia watu wote: “Siku hii ni siku takatifu kwa Yawe, Mungu wenu, hivyo musiomboleze wala kulia.


Kwenye kifuko hicho utatia mawe ya shauri yaninginie kwenye kifua cha Haruni kila mara anapokuja mbele yangu. Wakati ule anapaswa kila mara kuvaa kifuko kile, kusudi aweze kutambua mapenzi yangu juu ya Waisraeli.


Sehemu inayobaki ya sadaka ya ngano, ni ya makuhani. Hiyo ni sehemu takatifu kabisa ya sadaka inayotolewa Yawe kwa moto.


Sehemu inayobaki ya sadaka hiyo ni ya makuhani. Hiyo ni sehemu takatifu kabisa ya sadaka Yawe anayotolewa kwa moto.


Kisha akaweka kifuko kwenye kifua cha Haruni na ndani ya kifuko hicho akatia mawe ya sheria.


Yeye atamutegemea kuhani Eleazari ambaye atamujulisha mapenzi yangu kwa kutumia jiwe la shauri. Kwa njia hii, Eleazari atamwongoza Yoshua na Waisraeli wote wanapotoka na wanapoingia.


Juu ya kabila la Lawi, akasema: “Ee Yawe, upatie wazao wa Lawi shauri lako, shauri lako kwa hao waaminifu wako, ambao uliwajaribu huko Masa. Ulishindana nao kwenye maji ya Meriba.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις