Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Nehemia 10:38 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

38 Kila unga wetu wa kwanza, matoleo yetu, matunda ya miti, divai na mafuta tutavileta kwa kuhani kwenye vyumba vya nyumba ya Mungu wetu. Tena tutaleta zaka zetu za mazao yetu kwa Walawi, maana ndio wanaoshugulika na kukusanya zaka zile katika vijiji vyetu.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Nehemia 10:38
11 Σταυροειδείς Αναφορές  

kwa maana wale walinzi wakubwa wane, ambao walikuwa Walawi, walikuwa na kazi ya kusimamia vyumba na hazina ya nyumba ya Mungu.


Nikaagiza matoleo ya kuni kufanyika katika wakati unaopaswa na malimbuko wakati wake. Ee Mungu wangu, unikumbuke kwa ajili ya haya yote na unijalie mema.


Zaka za mazao ikuwe ni ngano au matunda ya miti, yote ni mali ya Yawe. Yote ni takatifu kwa Yawe.


kila mara mutakapokula mazao ya inchi hiyo, mutatenga sehemu fulani na kunipa mimi Yawe.


Mutanitolea mimi Yawe sadaka hii katika vizazi vyenu vyote vinavyokuja.


Kuelekea Walawi, hao nimewapa sehemu ya kumi ya kila kitu Waisraeli wanachonitolea kuwa urizi wao. Haya yatakuwa malipo yao kwa kazi wanayotoa katika kulitunza hema la mukutano.


kwa sababu sehemu ya kumi Waisraeli wanayonitolea nimewapa kuwa urizi wao. Ndiyo maana nimesema kwamba wao hawatakuwa na urizi kati ya Waisraeli.


“Mutoe sehemu ya kumi ya mazao yenu yote ya shamba kila mwaka.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις