8 Kisha Mungu akamwambia Noa na wana wake:
Siku hiyo, Yawe akafanya agano na Abramu akisema: “Ninawapa wazao wako inchi hii, toka muto Nili wa Misri mpaka ule muto mukubwa wa Furati,
Nanyi muzae, mwongezeke, muzae kwa wingi, mwongezeke katika inchi.”
“Ninasimamisha agano langu nanyi na wazao wenu