6 Kisha siku makumi ine, Noa akafungua dirisha alilokuwa ametengeneza katika chombo hicho,
Chombo hicho kikuwe cha gorofi tatu na chenye mulango pembeni. Utengeneze paa, kisha uache nafasi ya karibu nusu metre kati ya paa na dari.
Maji yakaendelea kupunguka polepole, na siku ya kwanza ya mwezi wa kumi, vilele vya milima vikaonekana.
akatuma kibombobombo inje, naye hakurudi, lakini aliruka kule na kule mpaka maji yalipokauka katika inchi.
Hivyo, mufalme Dario akatia sahihi kwenye sheria hiyo.