Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Mwanzo 6:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Katika siku zile na hata kisha, kulikuwa majitu katika dunia ambao walikuwa wazao wa wana wa Mungu na wabinti za wanadamu. Hao ndio watu waliokuwa mashujaa na wenye sifa wa zamani, na waliitwa Wanefili.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Mwanzo 6:4
8 Σταυροειδείς Αναφορές  

Wakasema: “Tujijengee muji na munara ambao chongo yake itafika mbinguni kusudi tujipatie sifa, kusudi tusisambazwe katika dunia yote.”


Tuliona majitu huko, wazao wa Anaki. Sisi tulijiona kuwa kama mapanzi mbele yao, na ndivyo walivyotuona sisi.


Hao wote waliungwa mukono na viongozi wenye heshima mia mbili makumi tano waliochaguliwa na Waisraeli, wakamwasi Musa.


Kama vile Waanaki, watu hawa walijulikana vilevile kama Warefai, lakini Wamoabu waliwaita Waemi.


(Mufalme Ogi ndiye peke yake aliyebakia kati ya Warefai. Kitanda chake kilichotengenezwa kwa chuma, kilikuwa na urefu wa metre ine na upana wa karibu metre mbili. Kitanda hicho kipo katika muji wa Waamori wa Raba.)


Kutoka kwenye kambi ya Wafilistini, shujaa mumoja anayeitwa Goliati, wa muji wa Gati, alijitokeza. Urefu wake ulikuwa metre tatu.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις