Mwanzo 6:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20024 Katika siku zile na hata kisha, kulikuwa majitu katika dunia ambao walikuwa wazao wa wana wa Mungu na wabinti za wanadamu. Hao ndio watu waliokuwa mashujaa na wenye sifa wa zamani, na waliitwa Wanefili. Δείτε το κεφάλαιο |