2 Yosefu alikuwa amewatwaa wandugu zake watano, akawajulisha kwa mufalme.
Basi, mufalme akiwaita na kuwauliza: ‘Kazi yenu ni nini?’
Kwa safari ya pili, Yosefu akajitambulisha kwa wandugu zake, naye Mufalme wa Misri akapata kujua jamaa ya Yosefu.
Tunajua kwamba Mungu aliyemufufua Bwana Yesu atatufufua sisi vilevile pamoja na Yesu. Yeye atatufikisha pamoja nanyi mbele ya Yesu.
Ni kwa hiyo tunamutangaza Kristo kwa watu wote. Tunaonya na kufundisha kila mutu kwa hekima yote, kusudi tuwasaidie watu wote wapate kufikia kuwa wakamilifu katika kuungana kwao na Kristo.
Basi yeye anayeweza kuwalinda kusudi musianguke, na kuwasimamisha ninyi mbele ya utukufu wake pasipo kilema na kwa furaha kubwa,