Mwanzo 47:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200218 Mwaka uliofuata wakamufikia tena na kumwambia: “Bwana, ukweli ni kwamba feza yetu yote imekwisha na nyama wetu wamekuwa mali yako. Sasa, bwana, sisi watumishi wako hatuna chochote tunachoweza kukupa isipokuwa miili yetu na mashamba yetu. Δείτε το κεφάλαιο |