4 Kama utakubali ndugu yetu kwenda pamoja nasi, basi tutakwenda kukununua chakula.
Lakini Yuda akamwambia baba yake: “Yule mutu alituonya vikali, akisema: ‘Sitawapokea musipokuja na ndugu yenu mudogo.’
Lakini ikiwa hautakubali aende nasi, basi, hatutakwenda kule, maana yule mutu alituambia waziwazi: ‘Hamutaniona musipokuja na ndugu yenu mudogo.’ ”
Nimesikia kwamba Misri kuna ngano. Muende kule mununue ngano tusikufe na njaa.”
Kisha kumalizika kwa kile chakula walichokuwa wamenunua kutoka Misri, Yakobo akawaambia wana wake: “Mwende tena Misri, mutununulie chakula kidogo.”
tukamwambia: ‘Hatuwezi kwenda, isipokuwa tu kama ndugu yetu mudogo atakwenda pamoja nasi. Kama hatakwenda pamoja nasi hatuwezi kupokelewa na yule mutu.’