Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Mwanzo 42:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Nimesikia kwamba Misri kuna ngano. Muende kule mununue ngano tusikufe na njaa.”

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Mwanzo 42:2
11 Σταυροειδείς Αναφορές  

Hivyo wandugu kumi za Yosefu wakaenda kwa kununua ngano.


Kisha kumalizika kwa kile chakula walichokuwa wamenunua kutoka Misri, Yakobo akawaambia wana wake: “Mwende tena Misri, mutununulie chakula kidogo.”


Kama utakubali ndugu yetu kwenda pamoja nasi, basi tutakwenda kukununua chakula.


Yuda akamwambia baba yake Israeli: “Uniruhusu mimi niende naye kusudi tuondoke mara moja, tuende tununue chakula, tusikufe na njaa pamoja nawe na watoto wetu.


“Basi, mufanye haraka! Muende kwa baba na kumwambia: ‘Mwana wako Yosefu anasema: Mungu amenifanya kuwa mukubwa wa inchi yote ya Misri. Basi, usikawie kuja kwangu.


Sitakufa. Nitaishi na kueleza matendo ya Yawe.


Yawe anawaangalia wale wanaomwabudu, watu ambao wanatumainia wema wake.


Yeye anawaokoa katika kifo, anawalinda wakati wa njaa.


Wakati ule, Hezekia aligonjwa sana karibu kufa. Halafu nabii Isaya mwana wa Amozi akamwendea, akamwambia: Yawe anasema hivi: Panga mambo yako sawasawa katika nyumba yako kwa sababu utakufa, hautapona.


Yesu akamujibu: “Imeandikwa hivi katika Maandiko Matakatifu: ‘Mutu hawezi kuishi kwa mukate tu, lakini kwa njia ya kushika kila neno Mungu analosema.’ ”


Yakobo alipopata habari kwamba kuna ngano katika Misri, akawatuma babu zetu kule mara ya kwanza.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις