Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Mwanzo 40:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Basi, Yosefu akawauliza wakubwa wale wa mufalme waliokuwa katika kifungo pamoja naye katika nyumba ya bwana wake: “Mbona leo muko na nyuso za huzuni?”

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Mwanzo 40:7
7 Σταυροειδείς Αναφορές  

Yosefu alipokwenda kwao asubui na kuwaona, wote wawili walikuwa wenye wasiwasi.


Kisha akawatia wote katika kifungo kwa muda wa siku tatu.


Yonadabu akamwambia Amunoni: “Wewe ni mutoto wa mufalme, kwa nini unakonda na unaonekana hauna furaha kila siku? Mbona hautaki kuniambia?” Amunoni akamwambia: “Ninamupenda Tamari, dada ya ndugu yangu Abusaloma.”


Mufalme Artasasta akaniuliza: “Mbona unaonekana kuwa mwenye huzuni, ingawa hauonekani kuwa mugonjwa? Ninaona una huzuni sana ndani ya moyo wako!” Halafu nikaogopa sana.


Yesu akawauliza: “Ni maneno gani haya munayosumulia hapa katika njia.” Nao wakasimama, wakiwa wanahuzunika.


Mika akasema: “Ninyi mumebeba miungu yangu niliyojitengenezea, mukamutwaa na kuhani wangu, mukaniacha bila kitu chochote. Munaweza namna gani basi kuniuliza nina shida gani?”


Mume wake Elekana alimwuliza: “Kwa nini unalia? Kwa nini hautaki kula? Kwa nini una huzuni ndani ya moyo wako? Basi, mimi si bora kwako kuliko watoto kumi wa kiume?”


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις