18 Enoki akazaa Iradi, naye Iradi akazaa Mehuyaeli, naye Mehuyaeli akazaa Metusaeli, naye Metusaeli akazaa Lameki.
Esau alioa wake Wakanaa: Ada binti ya Eloni Muhiti, Oholibama binti ya Ana, binti ya Sibeoni Muhivi,
Kaina akalala na muke wake, naye muke wake akapata mimba, akazaa Enoki. Kaina akajenga muji akauita kwa jina la mwana wake Enoki.
Lameki akaoa wanawake wawili, mumoja aliitwa Ada na mwingine Sila.
Wakati Enoki alipokuwa na umri wa miaka makumi sita na mitano, akazaa Metusela.
Wakati Metusela alipokuwa na umri wa miaka mia moja makumi nane na saba, akazaa Lameki.