Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Mwanzo 38:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Kisha akapata mutoto mwingine mwanamuke, akamwita Sela. Wakati Sela alipozaliwa, Yuda alikuwa Kezibu.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Mwanzo 38:5
8 Σταυροειδείς Αναφορές  

Halafu Yuda akamwambia Tamari, muke wa mwana wake: “Rudi kwa nyumba ya baba yako, ubaki mujane mpaka wakati mwana wangu Sela atakapokomaa.” Yuda hakutaka Sela naye akufe kama vile wandugu zake. Basi, Tamari akarudi kwa nyumba ya baba yake.


Yuda akavitambua vitu hivyo, akasema: “Tamari ni mwenye haki kuliko mimi. Ni kweli, maana sikumwoesha kwa mwana wangu Sela.” Tokea siku hiyo Yuda hakulala tena na Tamari.


Yuda alimwoea mutoto wake wa kwanza Eri mwanamuke anayeitwa Tamari.


Yuda na wana wake: Eri, Onani, Sela, Peresi na Zera. (Lakini Eri na Onani walikufa katika inchi ya Kanana). Wana wa Peresi walikuwa Hesironi na Hamuli.


Wana wa Yuda walikuwa watano: Wana wa Yuda aliozaliwa na Beti-Sua, muke wake Mukanana, walikuwa: Eri, Onanu na Sela. Eri, muzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa mwovu mbele ya Yawe, basi Yawe akamwua. Na Tamari, muke wake alimuzalia wana wawili: Peresi na Zera.


Wana wa Sela mwana wa Yuda, walikuwa: Eri, mwanzilishi wa muji wa Leka; Lada, mwanzilishi wa muji wa Maresa, ukoo wa wafuma nguo za kitani waliokuwa wakiishi katika muji wa Beti-Asibea;


Kabila la Yuda lilikuwa na Eri na Onani. Hawa walikufia katika inchi ya Kanana.


Kabila la Yuda lilikuwa na jamaa za Sela, Peresi, na Zera.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις