Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Mwanzo 37:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Niliota kwamba sisi wote tulikuwa katika shamba tukifunga miganda. Kwa rafla muganda wangu ukainuka na kusimama wima. Miganda yenu ikakusanyika kuuzunguka na kuinamia mbele ya muganda wangu.”

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Mwanzo 37:7
12 Σταυροειδείς Αναφορές  

Yuda na wandugu zake wakafika kwa Yosefu naye Yosefu alikuwa bado katika nyumba. Basi, wakainama mbele yake kwa heshima,


Wakati ule Yosefu alikuwa mukubwa kule Misri. Yeye ndiye aliyekuwa akiwauzishia wanainchi ngano. Basi, kaka zake wakakuja na kuinama mbele ya Yosefu kwa heshima.


Yosefu, aliporudi kwake, wakamuletea zile zawadi walizokuwa nazo, wakainama mbele yake kwa heshima.


Akakumbuka ndoto zake za zamani juu ya kaka zake, akawaambia: “Ninyi ni wapelelezi. Mumekuja kupeleleza uzaifu wa inchi yetu.”


Yeye ni kichwa cha kanisa linalokuwa mwili wake. Naye ndiye asili ya uzima wa mwili ule. Yeye ndiye mwanzo, muzaliwa wa kwanza, na ndiye aliyefufuka wa kwanza, kusudi akuwe wa kwanza juu ya vyote.


kusudi kwa kuheshimu jina la Yesu, viumbe vyote vinavyokuwa katika mbingu, katika dunia na katika kuzimu, vipige magoti mbele yake,


Bwana, wewe ulituuliza kama tuna baba au ndugu,


Jamii za watu zikutumikie, na mataifa yainame mbele yako kwa heshima. Ukuwe mutawala wa wandugu zako, na wana wa mama yako wainame mbele yako kwa heshima. Kila mutu anayekulaani alaaniwe, kila mutu anayekubariki abarikiwe!”


Aliwaambia: “Musikilize ndoto niliyoota:


Wakamujibu: “Mutumishi wako, baba yetu, yuko salama na angali muzima.” Kisha wakainama kwa heshima.


Halafu Yuda akamukaribia Yosefu na kumwambia: “Bwana, ninakuomba uniruhusu mimi mutumishi wako, nijitetee mbele yako kwa maneno machache. Ninakusihi usinikasirikie, maana wewe ni kama mufalme wa Misri mwenyewe.


Kisha wandugu zake wakamufikia, wakainama mpaka chini mbele yake, wakasema: “Sisi ni watumishi wako.”


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις