Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Mwanzo 30:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Rakeli akamujibu: “Mujakazi wangu Biliha yuko. Lala naye kusudi azae watoto pahali pangu, nami vilevile nipate watoto kutokana naye.”

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Mwanzo 30:3
6 Σταυροειδείς Αναφορές  

Lea alipoona ameacha kuzaa, alimutwaa Zilpa, mujakazi wake, na kumupa Yakobo kusudi akuwe muke wake.


Hao saba ni wazao wa Yakobo na Biliha, mujakazi ambaye Labani alimupa binti yake Rakeli.


Yosefu alijaliwa kuwaona watoto na wajukuu wa mwana wake Efuraimu na vilevile kuwapokea kama wana wake watoto wa Makiri mwana wa Manase.


Kwa nini mama yangu alinizaa? Kwa nini nilipata kunyonya?


Basi wazee waliokuwa kwenye mulango na watu wote waliokuwa pale wakajibu: “Ndiyo, sisi ni washuhuda. Yawe amufanye muke wako akuwe kama Rakeli na Lea, ambao wote wawili waliijenga nyumba ya Israeli. Nawe upate kustawi katika jamaa ya Efurata, ukuwe na sifa katika Betelehemu.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις