Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Mwanzo 26:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 Lakini watumishi wa Isaka walipochimba katika lile bonde na kupata kisima cha maji yanayobubujika,

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Mwanzo 26:19
5 Σταυροειδείς Αναφορές  

Kama vile Maandiko Matakatifu yanavyosema: ‘Mito ya maji ya uzima yatatiririka toka ndani ya yule anayeniamini.’ ”


Wewe ni chemichemi ya bustani, kisima cha maji yasiyokauka, vijito vinavyotiririka kutoka milima ya Lebanoni.


Isaka akachimba vile visima vilivyokuwa vimechimbwa wakati Abrahamu baba yake alipokuwa muzima, visima ambavyo Wafilistini walikuwa wameziba nyuma ya kifo cha Abrahamu. Akavipa majina yaleyale baba yake aliyovipa.


wachungaji wa pale Gerari wakagombana na wachungaji wa Isaka wakisema: “Maji haya ni yetu.” Hivyo Isaka akakiita kisima hicho “Ugomvi” kwa sababu waligombana naye.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις